)
2024-02-03T19:04:00+00:00
KANDANDA Simba SC yaichapa Mashujaa FC 1-0 Ligi Kuu
Ushindi huo umewaifanya kuwasogelea wapinzani wao timu za Yanga na Azam waliopo nafasi mbili za juu
2024-02-03T19:04:00+00:00
Ushindi huo umewaifanya kuwasogelea wapinzani wao timu za Yanga na Azam waliopo nafasi mbili za juu
2024-01-29T20:20:00+00:00
Ni baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuzipangia kucheza mechi saba
2024-01-22T15:00:00+00:00
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya klabu hiyo kufanya Mkutano Mkuu wa kila mwaka ambapo baadhi ya wanachama walionesha kutofurahia usajili wa sasa
2024-01-15T14:44:00+00:00
Huyo anakuwa ni mchezaji wa tatu kusajiliwa na timu hiyo chini ya kocha, Abdelhak Benchikha katika dirisha dogo la usajili litakalofungwa leo saa 6 usiku
2024-01-10T18:07:00+00:00
Nyota hao ni wale walioshindwa kufanya vizuri ndani ya Klabu hiyo tangu wasajiliwe na pia walipewa nafasi ya kucheza Mapinduzi Cup
2024-01-06T20:00:00+00:00
Huyo ni mchezaji wa pili kusajiliwa na Simba katika dirisha hili dogo linaloendelea
2023-12-26T16:06:00+00:00
Nyota hao wa timu ya Simba SC walisimamishwa tangu Desemba 21 na hadi sasa hakuna kikao kilichofanyika kujadili hatma yao
2023-12-24T11:04:00+00:00
Kocha huyo wa Simba hajaridhishwa na timu yake inavyocheza tangu alipokabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo
2023-12-23T19:00:00+00:00
Matokeo hayo yameifanya Simba SC kubali katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 23
2023-12-22T14:35:00+00:00
Timu hizo zitaumana kesho katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara