)
2024-01-22T15:00:00+00:00
KANDANDA Bosi Simba SC aahidi kupunguza zaidi nyota wao
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya klabu hiyo kufanya Mkutano Mkuu wa kila mwaka ambapo baadhi ya wanachama walionesha kutofurahia usajili wa sasa
2024-01-22T15:00:00+00:00
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya klabu hiyo kufanya Mkutano Mkuu wa kila mwaka ambapo baadhi ya wanachama walionesha kutofurahia usajili wa sasa
2024-01-06T20:00:00+00:00
Huyo ni mchezaji wa pili kusajiliwa na Simba katika dirisha hili dogo linaloendelea
2024-01-06T08:33:00+00:00
Hatua hiyo itaanza kuchezwa Jumapili na Jumatatu kwa kupigwa mechi mbili kwa siku
2024-01-02T17:25:00+00:00
Kocha huyo alijiunga na Simba Oktoba, mwaka jana kuchukua mikoba ya Mbrazil, Roberto Oliviera 'Robertinho, hivyo hajapata muda mwingi wa kuiona timu yake
2023-12-26T16:06:00+00:00
Nyota hao wa timu ya Simba SC walisimamishwa tangu Desemba 21 na hadi sasa hakuna kikao kilichofanyika kujadili hatma yao
2023-12-24T11:04:00+00:00
Kocha huyo wa Simba hajaridhishwa na timu yake inavyocheza tangu alipokabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo
2023-12-23T19:00:00+00:00
Matokeo hayo yameifanya Simba SC kubali katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 23
2023-12-22T14:35:00+00:00
Timu hizo zitaumana kesho katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara
2023-12-16T13:11:00+00:00
Hiyo huenda ikasaidia kupunguza malalamiko yanayokuwa yakitolewa kwa waamuzi wakidaiwa kushindwa kutafsiri sheria 17 za soka
2023-12-15T04:30:00+00:00
Timu hiyo hadi sasa inashika mkia Kundi B la michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na alama 2