)
2023-10-04T20:00:00+00:00
KANDANDA Yanga yapigwa 2-1 na Ihefu FC Ligi Kuu
Matokeo hayo ni kama yaliyotokea Novemba 29, mwaka jana kwenye uwanja huo huo ambapo 'unbeaten' ya Yanga iliishia hapo kwa kufungwa idadi kama hiyo ya mabao.
2023-10-04T20:00:00+00:00
Matokeo hayo ni kama yaliyotokea Novemba 29, mwaka jana kwenye uwanja huo huo ambapo 'unbeaten' ya Yanga iliishia hapo kwa kufungwa idadi kama hiyo ya mabao.
2023-10-02T11:30:00+00:00
Yanga jana imefuzu hatua hiyo kwa mara ya kwanza ikipita miaka 25 baada ya kuibuka na ushindi wa jumla wa mabao 3-0 dhidi ya Al-Merreikh ya Sudan.
2023-09-26T20:34:00+00:00
Yanga itaumana na Merreikh Jumamosi Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam katika mchezo wa mkondo wa pili kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
2023-09-25T19:53:00+00:00
Beki hiyo wa kushoto, amepata maumivu hayo baada ya kuchezewa vibaya na Hashim Manyanya na moja kwa moja kutolewa nje ya uwanja.
2023-09-22T10:00:00+00:00
Magogo has explained why Tanzania's NBC Premier League has become one of the biggest in Africa, but Uganda and Kenya's topflight leagues has stagnated, offering solutions to it.
2023-09-21T18:34:00+00:00
Ushindi huo, umeifanya Yanga kufikisha alama 9 kutokana na kushinda michezo yake mitatu ya kwanza.
2023-09-20T12:09:00+00:00
Ajali hiyo imetokea eneo la Miteja karibu na Somanga na kusababisha vifo hivyo na majeruhi 30.
2023-09-16T18:40:00+00:00
Timu hizo zitarudiana tena mwishoni mwa mwezi huu uwanjani Azam Complex jijini Dar es Salaam.
2023-09-15T13:00:00+00:00
Yanga itashuka uwanjani Pele mjini Kigali, Jumamosi saa 10 jioni kuumana na timu hiyo katika mechi ya mkondo wa kwanza wa michuano hiyo.
2023-09-13T20:00:00+00:00
Kiungo wa Simba SC hatosafiri na timu kwenda Zambia kwa sababu ya kuumia goti. Timu itacheza na Power Dynamos Jumamosi.